• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Complains |
Karatu District Council
Karatu District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dhamira na Dira
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
  • Madiwani
  • Miradi
  • Machapisho
    • Hali ya Uwekezaji
      • Business License Form
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha

Elimu Msingi

MAJUKUMU YA IDARA YA ELIMU YA MSINGI

1. Kusimamia utekelezaji wa usimamizi wa mtaala wa Elimu Msingi

2. Kusimamia utendaji wa kazi za walimu katika ujifunzaji na ufundishaji

3.kusimamia utunzaji na uboreshaji wa miundo mbinu ya shule kama madarasa, nyumba za walimu, vyoo na ofisi za walimu.

4:Kusimamia rasilimali fedha na utekelezaji wa bajeti za shule.

5:Kuhakikisha kunakuwepo na ustawi wa walimu na wanafunzi katika maeneo ya kazi.

6:Kudumisha ushirikiano baina ya shule na wadau mbalimbali katika kuleta maendeleo ya shule.

7:Kuhakikisha shule zote zinakuwa na samani kwa walimu na wanafunzi kama madawati, meza kabati nk.

8:Kuhakikisha mazingira ya shule yanatunzwa na yanavutia

9:Kuhakikisha kila mwanafunzi mwenye umri wa kwenda shule anaandikishwa na anapata masomo.

10:Kuhakikisha walimu wanasimamia na kutekeleza mitaala isiyo rasmi kama michezo na utamaduni ili kuendeleza vipaji vya wanafunzi.

11:Kuhakikisha panakuwepo na kamati za shule zilizo hai na zinazofanya kazi na kuhakikisha kamati hizi zinaendeshwa kwa mujibu wa kanuni, taratibu na sheria.

12:Kumshauri Mkurugenzi kuhusu mambo yote ya Elimu Msingi.


Halmashauri ya Wilaya ya Karatu ina Taasisi za shule zinazomilikiwa na serikali na zisizomilikiwa na serikali kwa shule za msingi ambazo jumla yake ni 107, Idadi ya shule zinazomilikiwa na Taasisi zisizo za kiserikali ni 8,  Shule zenye vitengo vya Elimu Maalum ni 3

Halmashauri ya Wilaya Karatu ina jumla ya Walimu 985,pia ina jumla ya wanafunzi 7070 wa shule za awali zinazomilikiwa na serikali na wanafunzi 615 wa shule za taasisi binafsi, wanafunzi wa shule za msingi kuanzia darasa la kwanza hadi la saba kwa shule zinazomilikiwa na serikali ni 47510 na wanafunzi 1721 wa shule za taasisi binafsi. Idadi ya wanafunzi wa MEMKWA ni 421, wanafunzi wa elimu maalum wapo 84



Matangazo

  • WALIOCHANGULIWA KIDATO CHA KWANZA - 2023, HALMASHAURI YA KARATU December 14, 2022
  • LAKE EYASI CULTURAL TOURISM PROGRAM NEW ENTRY FEE December 01, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA 111 NA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA 11 May 07, 2021
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • MIAKA (61) YA UHURU MKUU WA WILAYA YA KARATU MHE DADI HORICE KOLIMBA AFUNGUA MDAHALO WA MAENDELEO WILAYA YA KARATU.

    December 09, 2022
  • MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA UHURU WA TANGANYIKA

    December 09, 2022
  • MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA UHURU WA TANGANYIKA

    December 09, 2022
  • LAKE EYASI CULTURAL TOURISM TO BE IMPROVED

    November 08, 2022
  • Angalia Zote

Video

NDUGU. EDWARD MAURA MWENYEKITI WA BARAZA LA WAFUGAJI NGORONGORO
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fursa za Uwekezaji

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Wizara ya Fedha na Mipango
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karatu District Council

    Sanduku la Posta: P.O Box 190

    Simu: +255 272970648

    Simu ya Mkononi: 0754266833

    Barua Pepe: ded@karatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Karatu.Haki zote zimehifadhiwa