• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Complains |
Karatu District Council
Karatu District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dhamira na Dira
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
  • Madiwani
  • Miradi
  • Machapisho
    • Hali ya Uwekezaji
      • Business License Form
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha

KIKUNDI CHA VIJANA CHA AMANI NMC

Posted on: June 16th, 2021

Kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru, Luteni Josephine Paul Mwambashi ametembelea mradi wa vijana wa kikundi cha amani wanaojihusisha na utengenezaji wa maandazi. Luteni Mwambashi amewapongeza vijana kwa kufanya kazi halali za kuwaingizia vipato. Amewahimiza kuhakikisha wanafuata miongozo ya biashara na kuzingatia kanuni na taratibu  za afya.

 Kikundi cha amani wanaojihusisha na utengenezaji wa maandazi. mradi wa uzalishaji maandazi wa kikundi cha vijana cha Amani unauwezo wa kuzalisha maandazi kati ya 700  hadi 1000 kwa siku. Wanatarjia kuzalisha mikate 300 kwa siku, kwa kupitia mradi huo wameweza kuajiri vijana wanne, ambao wawili wako jikoni na wawili wanasambaza bidhaa za kikundi.

kikundi hiki cha Amani NMC Karatu kilianza rasmi Novemba mwaka 2020 kikiwa na vijana 10  kwa mtaji wa Tshs 7,770,000/= na baadae Halmashauri ikawakopesha Mkopo usio na riba wa Tshs 4,000,000/=. Lengo la Kikundi cha amani ni kufanya biashara ya utengenezaji wa maandazi na uokaji wa mikate ili kujiendeleza Kiuchumi na kutoa huduma kwa jamii inayozunguka.

Matukio katika picha kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru alipotembelea kikundi cha vijana cha Amani NMC


Matangazo

  • WALIOCHANGULIWA KIDATO CHA KWANZA - 2023, HALMASHAURI YA KARATU December 14, 2022
  • LAKE EYASI CULTURAL TOURISM PROGRAM NEW ENTRY FEE December 01, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA 111 NA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA 11 May 07, 2021
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • MIAKA (61) YA UHURU MKUU WA WILAYA YA KARATU MHE DADI HORICE KOLIMBA AFUNGUA MDAHALO WA MAENDELEO WILAYA YA KARATU.

    December 09, 2022
  • MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA UHURU WA TANGANYIKA

    December 09, 2022
  • MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA UHURU WA TANGANYIKA

    December 09, 2022
  • LAKE EYASI CULTURAL TOURISM TO BE IMPROVED

    November 08, 2022
  • Angalia Zote

Video

NDUGU. EDWARD MAURA MWENYEKITI WA BARAZA LA WAFUGAJI NGORONGORO
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fursa za Uwekezaji

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Wizara ya Fedha na Mipango
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karatu District Council

    Sanduku la Posta: P.O Box 190

    Simu: +255 272970648

    Simu ya Mkononi: 0754266833

    Barua Pepe: ded@karatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Karatu.Haki zote zimehifadhiwa