• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Complains |
Karatu District Council
Karatu District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dhamira na Dira
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
  • Madiwani
  • Miradi
    • TASAF
    • BOOST
  • Machapisho
    • Hali ya Uwekezaji
      • Business License Form
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha

MADAKTARI BINGWA WA SAMIA AWAMU YA TATU WATUA KARAU

Posted on: May 12th, 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu Ndg. Juma Hokororo leo Mei 12, 2025 amewapokea Madaktari bingwa walioko chini ya mpango wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan awamu ya Tatu waliofika karatu kwaajili ya kutoa huduma za afya kwa wananchi kwa gharama nafuu.

Madaktari hao Bingwa wamewela Kambi hospitali ya Wilaya kwanzia leo leo 12 Mei 2025 na inatarajiwa kudumu kwa siku sita.

Huduma zinazotolewa na madaktari hawa bingwa ni pamoja na

- Huduma za afya kwa watoto na watoto wachanga

- Huduma za afya ya uzazi, wajawazito na magonjwa ya wanawake

-Huduma za magonjwa ya ndani kama shinikizo la damu na kisukari

- Huduma za upasuaji

- Huduma za ganzi na usingizi

Huduma hizi zinalenga kuwafikia wananchi wengi, hasa wale wa maeneo ya vijijini, na zinatolewa kwa gharama nafuu huku Bima ya Afya ya itatumika .

Mpango huu ni sehemu ya juhudi za serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan katika kusogeza huduma za kibingwa karibu na wananchi wote, bila kujali mahali walipo. Wananchi wote wanahimizwa kujitokeza kwa wingi kupata huduma hizi muhimu.

Matangazo

  • Matokeo ya upimaji wa Kitaifa kidoto cha pili January 07, 2024
  • Halmashauri ya Wilaya ya Karatu Uchaguzi wa Wanafunzi wa kidato cha kwanza, 2024 December 18, 2023
  • Matokeo ya Darasa la Nne January 07, 2024
  • KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI 2024 May 11, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • MAAFISA UANDIKISHAJI WALA KIAPO KARATU

    May 14, 2025
  • DED HOKORORO ASHIRIKI KIKAO CHA ALAT WILAYA YA MERU

    May 15, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA SAMIA AWAMU YA TATU WATUA KARAU

    May 12, 2025
  • KARATU WASAPOTIJUHUDI ZA RAIS SAMIA WATANGAZA UTALII WA NDANI

    May 11, 2025
  • Angalia Zote

Video

DC KOLIMBA ATATUA KERO TARAFA YA EYASI KARATU
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fursa za Uwekezaji

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Wizara ya Fedha na Mipango
  • Jamvi la Habari
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karatu District Council

    Sanduku la Posta: P.O Box 190

    Simu: +255 272970648

    Simu ya Mkononi: 0754773947

    Barua Pepe: ded@karatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Karatu.Haki zote zimehifadhiwa