• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Complains |
Karatu District Council
Karatu District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dhamira na Dira
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
  • Madiwani
  • Miradi
    • TASAF
    • BOOST
  • Machapisho
    • Hali ya Uwekezaji
      • Business License Form
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha

MRADI WA MADARASA MATATU KATIKA SHULE YA SEKONDARI FLORIAN

Posted on: June 16th, 2021

Kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru Luteni Josephine Paul Mwambashi amezindua mradi wa madarasa matatu katika shule ya sekondari Florian. Katika uzinduzi huo Luteni Mwambashi amesema kukamilika kwa ujenzi wa madarsa hayo kumeondoa adhaa ya mbanano wa wanafunzi darasani. Luteni Mwambashi ametoa rai kwa watendaji kuhakikisha miundo mbinu hiyo inatunza na kudumu muda mrefu.

Kukamilika kwa mradi wa ujenzi wa vyumba vitatu vya madarasa kumepunguza msongamano wa wanafunzi madarasani ambapo kwa sasa wanakaa wanafunzi arobaini darasani. Pia ufundishaji na ujifunzaji umekuwa rahisi kwa kuwa mwalimu anaweza kumfikia kila mwanafunzi kwa urahisi.

Mbio za mwenge wa uhuru zimeziundua mradi wa ujenzi wa madarasa matatu kwa gharama ya shilingi milioni hamsini na tano mia moja hamsini na tisa elfu mia tatu sitini na tisa na senti sitini na nane (55,159,369.68/=) tu na kubakiwa na kiasi cha shilingi milioni nne laki nane arobaini elfu mia sita thelathini na senti thelathini na mbili (4,840,630.32) tu ambazo zilifanyiwa mabadiliko ya matumizi na kutumika kwenye ujenzi wa choo.

Mradi wa majengo ya vyumba vitatu vya madarasa katika matukio tofauti ya picha

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • LAKE EYASI CULTURAL TOURISM PROGRAM NEW ENTRY FEE December 01, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA 111 NA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA 11 May 07, 2021
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • MIAKA (61) YA UHURU MKUU WA WILAYA YA KARATU MHE DADI HORICE KOLIMBA AFUNGUA MDAHALO WA MAENDELEO WILAYA YA KARATU.

    December 09, 2022
  • MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA UHURU WA TANGANYIKA

    December 09, 2022
  • MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA UHURU WA TANGANYIKA

    December 09, 2022
  • LAKE EYASI CULTURAL TOURISM TO BE IMPROVED

    November 08, 2022
  • Angalia Zote

Video

NDUGU. EDWARD MAURA MWENYEKITI WA BARAZA LA WAFUGAJI NGORONGORO
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fursa za Uwekezaji

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Wizara ya Fedha na Mipango
  • Jamvi la Habari
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karatu District Council

    Sanduku la Posta: P.O Box 190

    Simu: +255 272970648

    Simu ya Mkononi: 0754773947

    Barua Pepe: ded@karatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Karatu.Haki zote zimehifadhiwa