• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Complains |
Karatu District Council
Karatu District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dhamira na Dira
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
  • Madiwani
  • Miradi
  • Machapisho
    • Hali ya Uwekezaji
      • Business License Form
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha

MWENGE WA UHURU WAFUNGUA BWENI LA WASICHANA

Posted on: June 12th, 2019

Mwenge wa uhuru umezindua nyumba za walimu pamoja na bweni la wasichana katika shule ya Baray khusumay. Shule hiyo ni moja ya shule 35 za sekondari zilizopo katika wilaya ya Karatu zenye wanafunzi 12683  na walimu 594.

Kiongozi wa mwenge kitaifa Ndugu Mzee Mkongea Alli amesema nyumba za walimu sehemu ya kuoshea vyombo haina kichujio. Amesema kuna baadhi ya milango haifunguki mpaka mwisho, pia amesema ni vyema wakaweka taga za kusaidia kuvuna maji. Ndugu Mkongea amempongeza Mhandisi kwa ubunifu mkubwa alioufanya katika ujenzi wa bweni pamoja na nyumba mbili za walimu two in one.Amesema Mhandisi ameweka kichomeo taka lakini kwenye bweni ameweka kabati za chuma za kuhifadhi vifaa kwa ajili ya wanafunzi.


kiongozi wa mbio za mwenge akikagua mfumo wa maji katika bweni la wasichana la Baray Khusumay

Ujenzi wa majengo matatu (Nyumba mbili za walimu na Bweni la wasichana umegharimu jumla ya Shilingi 298,562,654.50, ambazo michango ya Wananchi ina thamani ya Shilingi 27,142,059.50 na TASAF imechangia kiasi cha Shilingi 271,420,595.

 

Kukamilika kwa Miradi hii ya Nyumba mbili za Walimu na Bweni la wasichana kumewezesha shule kukidhi vigezo vya kusajiliwa na pia kuwezesha kuongeza idadi ya Walimu katika Shule hii na kuboresha mazingira ya kufundishia na kujifunzia na hatimaye kupandisha ubora wa elimu na kiwango cha ufaulu cha wanafunzi.

Matangazo

  • WALIOCHANGULIWA KIDATO CHA KWANZA - 2023, HALMASHAURI YA KARATU December 14, 2022
  • LAKE EYASI CULTURAL TOURISM PROGRAM NEW ENTRY FEE December 01, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA 111 NA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA 11 May 07, 2021
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • MIAKA (61) YA UHURU MKUU WA WILAYA YA KARATU MHE DADI HORICE KOLIMBA AFUNGUA MDAHALO WA MAENDELEO WILAYA YA KARATU.

    December 09, 2022
  • MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA UHURU WA TANGANYIKA

    December 09, 2022
  • MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA UHURU WA TANGANYIKA

    December 09, 2022
  • LAKE EYASI CULTURAL TOURISM TO BE IMPROVED

    November 08, 2022
  • Angalia Zote

Video

NDUGU. EDWARD MAURA MWENYEKITI WA BARAZA LA WAFUGAJI NGORONGORO
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fursa za Uwekezaji

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Wizara ya Fedha na Mipango
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karatu District Council

    Sanduku la Posta: P.O Box 190

    Simu: +255 272970648

    Simu ya Mkononi: 0754266833

    Barua Pepe: ded@karatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Karatu.Haki zote zimehifadhiwa