• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Complains |
Karatu District Council
Karatu District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dhamira na Dira
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
  • Madiwani
  • Miradi
  • Machapisho
    • Hali ya Uwekezaji
      • Business License Form
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha

MWENGE WA UHURU WAZINDUA BARABARA YA NBC- KUDU

Posted on: June 12th, 2019

Kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru Ndugu Mzee Mkongea Alli amezindua barabara ya NBC- KUDU yenye umbali wa 0.6 km kwa kiwango cha lami. Mradi huo unasimamiwa na wakala wa barabara vijijini na mjini TARURA.

Ndugu Mzee Mkongea amesema mistari ya alama za barabarani zimefutika, lakini kwenye mifereji kuna alama za nyufa. Amesema kuna baadhi ya maeneo barabara, ina makorongo Ndugu Mkongea ametoa maelekezo, barabara hiyo kufanyiwa marekebisho ndani ya wiki mbili kwa sababu mkandarasi aliyejenga barabara bado yupo katika kipindi cha matazamio. Ndugu Mkongea amesema ameridhishwa na vipimo vya maabara, hivyo mbio zimeridhia kuuzindua mradi huo wa barabara.


Mkimbiza Mwenge akichukua vipimo vya urefu wa barababra.

Ujenzi wa mradi huo umefanywa na mkandarasi Mkandarasi M/S Jonenac Construction Ltd. Mradi ulianza tarehe 08/03/2018 na kukamilika tarehe 27/09/2018. Kazi zilizofanyika ni kuchimba na kujenga mifereji yenye jumla ya urefu wa mita 400 kwa ajili ya kupitisha maji ya mvua, kuweka lami nyepesi mita 600 na kujenga Makalvati mawili (2).

Matangazo

  • WALIOCHANGULIWA KIDATO CHA KWANZA - 2023, HALMASHAURI YA KARATU December 14, 2022
  • LAKE EYASI CULTURAL TOURISM PROGRAM NEW ENTRY FEE December 01, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA 111 NA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA 11 May 07, 2021
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • MIAKA (61) YA UHURU MKUU WA WILAYA YA KARATU MHE DADI HORICE KOLIMBA AFUNGUA MDAHALO WA MAENDELEO WILAYA YA KARATU.

    December 09, 2022
  • MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA UHURU WA TANGANYIKA

    December 09, 2022
  • MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA UHURU WA TANGANYIKA

    December 09, 2022
  • LAKE EYASI CULTURAL TOURISM TO BE IMPROVED

    November 08, 2022
  • Angalia Zote

Video

NDUGU. EDWARD MAURA MWENYEKITI WA BARAZA LA WAFUGAJI NGORONGORO
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fursa za Uwekezaji

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Wizara ya Fedha na Mipango
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karatu District Council

    Sanduku la Posta: P.O Box 190

    Simu: +255 272970648

    Simu ya Mkononi: 0754266833

    Barua Pepe: ded@karatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Karatu.Haki zote zimehifadhiwa